Friday, October 4, 2013

Jinsi ya kuzuia matiti kuanguka



Hakikisha mpenzi wako anayanyonya akiwa ameshikilia au wewe umeyashikilia, vilevile hakikisha anapo yapapasa au kuyatomasa, basi afanye hivyo bila kuyahangaisha....kwamba ahakikishe yametulia.

Unapokuwa kwenye mkao wowote unaosababisha matiti yako yasumbuke basi hakikisha mpenzi kayakamata sawa au kama wewe mwenyewe hujapoteza akili kwa raha basi yashikilie....kwa kufanya hivyo kutasaidia matiti yako yasilegee kabla ya wakati.

Ni wazi kuwa matiti yanakwenda kulegea pale yatakapokuwa yanapoza homoni yaani yaani mwamke kuzeeka lakini kuzaa au kuwa mdada mkubwa (over 40) sio sababu ya kujiachia

No comments:

Post a Comment