Friday, October 4, 2013

Jifunze jinsi ya Kubusu







Ili mfurahie busu mnatakiwa
kupeana (umbusu-akubusu) hivyo
ni jambo muhimu la kuzingatia ni
kuto achama au kukusanya
midomo yako kama unataka
kubusu kwa sauti (kama zile busu
za sauti za vijana mtaani) na
badala yake busu kimahaba…..
Sogeza midomo yako kama ilivyo
(umeifumba lakini iko-relaxed)
kwenye midomo ya unaetaka
kumbusu…..kisha itulize midomo
hiyo juu yake na sasa toa “busu
kavu” juu ya midomo yake kisha
jitoe alafu rudi tena x3…..1)-inua
uso wake kwa kutumia kidole (hii
ni kwa wanaume) na mbusu moja
kwa moja kwa kugusanisha pua
kiaina…2)-Busu kwa kupindisha
shingo/kichwa ili kutogusanisha
pua zenu…3)-ukiwa umepindisha
kichwa/shingo…mshike mkono
au mkumbatie kiasi na busu tena.
Ukiona/hisi anajisogeza au
anakupa ishara kuwa uendelee
kwa kufungua mdomo kiaina,
kukush
ika mkono/kifua/kitambi/kiuno
au kuweka mkono kwenye bega
basi endelea na “busu nyevu”
kwa kubusu ktk mtindo wa
kulamba-kunyonya mdomo(lips)
wa chini na tulia hapo kwa
sekunde chache kisha pokea
ulimi wake kwa ulimi wako (bila
kuachama…ni mumo kwa
mumo)alafu ukwepe na kisha
rudi kwenye midomo ya busu lip
ya juu…..
Ongeza ujuzi wako sasa…na
kumbuka kupumua kwa kutumia
pua sio unampumulia mwenzio
mdomoni….(atashiba hewa) au
unabada pumzi (Mauti
inakukumba). Unaweza kufumba
macho aku kukodoa....inategema
na wakati wenyewe.
Kuna aina tofauti za kubusu ili
kutuma ujumbe kwa mpenzi
wako lakini busu zote
zinahusiaha ulimi na mate.
Unaweza ukapewa busu wewe
ukadhani ni kawaida (kama hujui)
lakini mwenzio anakwambia
amechoka, anakupenda,
anashukuru, amefurahi kukuona,
hataki kungonoana siku/wakati
huo, hana raha/hujamfurahisha,
anataka kuwa peke yake,
anamachungu, yuko busy n.k.
Busu hizi zina jinsi yake ambayo
utaijua kwa vitendo…..nadhani
wabongo wengi hawajui unless
wamewahi kufanya mahusiano ya
kimapenzi na watu wenye
utamaduni wa kubusu kwa mate/
ulimi (Wazungu wazuri ktk hilo).
Baadhi ya watu hujiuliza kwanini
wazungu wanapigana denda kila
wakati lakini hawadisi/dindishi?
Sio kila denda ni “nataka
kutomabana” kuna denda
nyingine za machungu au hasira,
nakumbuka kama unampenda
mwenzio lazima utahisi
machungu yake sasa kudisa
kutatoka wapi hapo ei?
Ongezea ujuzi na utundu ulionao
ili na wengine wajifunze


No comments:

Post a Comment