Sunday, October 6, 2013

Jumbe za Malavidavi

Kila ninapowaza kwanini nilikupenda wewe sipati jibu, kila siku nafikiria zawadi ya kukupa kuonyesha mapenzi yangu kwako nakosa. Tambua kitu kimoja lahazizi wangu, nakupenda sana!
*****
Though Shakespeare is great , he'll never find the right words to describe u because he simply never xperienced knowing a wonderful person like u, friend!
*****
Fumba macho sweetie, haya fumbua, soma neno linalofuata…nakupenda na kamwe sitakusaliti milele!
*****
If I could change the alphabet, I would put U and I together!
*****
Kila kitu ulichonacho kinanipa mshawasha, macho yako mazuri, tabasamu tamu na umbo lako zuri, lakini kubwa zaidi ni mahaba yako mazito!
*****
I knew u've got plenty of frens. Some r old, some r new. Some r false, some r truth. I may not be ur perfect fren but one thing I will always be - d cutest u've got.
*****
Mpenzi wangu, natambua kuwa unanipenda kwa dhati, nimekuficha moyoni mwangu, nakuomba unihifadhi moyoni mwako nijifiche, nisipatwe na mvua wala jua!

No comments:

Post a Comment