Sunday, October 6, 2013

Kwa wapendanao

UNAPOKUWA KATIKA UHUSIANO WA KIMAPENZI, KWA HAKIKA UNAPASWA KUULINDA UHUSIANO WAKO KWA GHARAMA YOYOTE.
WATAALAMU WA MAMBO YA MAHUSIANO WANAAMINI UJUMBE WA MAPENZI HUDUMISHA PENZI KWA KIASI KIKUBWA SANA. LEO NIMEKUANDALIA MESEJI KALI ZA KIMAPENZI KWA AJILI YA KUMTUMIA UMPENDAYE, LENGO LIKIWA NI KUBORESHA PENZI LAKO. KAZI KWAKO KUCHAGUA MOJA NA KUMTUMIA LAHAZIZI WAKO!
I am opening an emotional bank account for u sweetheart, so deposit your love
in it and you will get the interest!
*****
Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe ndiyo ua la moyo wangu!
*****
If I could die early I would ask God if I could be your guardian angel, so I could wrap my wings around you and embraces you whenever you feel alone...
*****
Najua kuna vishawishi vingi sana uko ulipo, lakini nikiwa moyoni mwako, siku hii itakuwa nzuri zaidi kwetu, tupendane daima lahazizi…
*****
It is hard to talk when your in love because when I look into your beautiful I get my breath taken away…
*****
Midomo yako inanichanganya, macho yako yananivutia, umbo lako linaniacha hoi, wewe ni wangu wa ubani siwezi kudanganywa na walaghai…
*****
Penzi langu kwako ni la milele, nitakuhifadhi moyoni mwangu siku zote za maisha yangu, uwe wangu nami niwe wako daima, nakupenda dear…
*****
R. for red , red for blood , blood for heart, heart for love, love for you, you for me, me is you , I love you ma’ dear!
*****
Hiki ni kipindi muhimu kwetu, kuoneshana mapenzi ya kweli, wanafiki wabaki kimya kwa aibu zao…
*****
I’ll drop a tear drop into the ocean n the day I find that tear drop is the day
I stop loving u!
*****
Usiku wa jana ulikuwa wa aina yake, ulinipa mambo matamu yasiyo ya kawaida, ulinifurahisha sana mpenzi wangu, ulidhihirisha kuwa wewe ni kidume uliyeubwa kwa ajili yangu..
*****
Baby I have an addiction problem, people say I should go to rehab but I
always tell them I don’t wanna go cause I’m addicted to ... YOU
*****
Kutokana na penzi la siku ya kwanza kwako, bado ninatamani kuendelea kujificha katika moyo wako, wewe ni taa ya maisha yangu, nahitaji uwe nami siku zote, nami nitakuwa nawe, hadi kifo kitapotutenganisha! Hii ni ahadi ambayo sitaivunja hadi siku naingia kabuni, tupendane mpenzi…

No comments:

Post a Comment